SOKA la Afrika halijawahi kueleweka. Binafsi limeanza kunivutia zaidi na zaidi. Sio mimi tu. Kampuni za kamari zitakuwa ...
KLABU ya mbio za magari ya Mount Uluguru imetwaa taji la klabu bora ya mwaka 2024 na kupewa tuzo maalum katika hafla ya ...
NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Samatta mambo yanaonekana kuwa magumu kwa upande wake akiwa na PAOK ya Ugiriki amekuwa akikosa ...
MSHAMBULIAJI kinda wa Tanzania, Mourice Sichone anayekipiga katika timu ya Trident FC ya Zambia amesema anatamani aisaidie ...
MSHAMBULIAJI wa TMA, Abdulaziz Shahame 'Haaland' amesema vita yake iliyopo ya ufungaji na nyota wa Mtibwa Sugar, Raizin ...
MECHI 23 tu zimetosha kwa Simba kuamini kiungo wake fundi Jean Charles Ahoua ni mali inayotakiwa kulindwa ipasavyo na ...
LICHA ya Tamasha la Muziki wa Dansi Tanzania 2025, 'Kadansee la Mama', kufana kwenye viwanja vya Leders Club Kinondoni jijini ...
MANCHESTER City inasema huko kwenu Erling Haaland atakabwa na nani...Arsenal inajibu huku kwetu yupo Gabriel Magalhaes haachi ...
ALIYEKUWA mwimbaji wa Bongofleva, Vanessa Mdee ameweka wazi kuwa ametimiza miaka mitano bila kunywa pombe lakini hatua hii ...
OFISA Mtendaji Mkuu wa Pamba Jiji, Peter Juma Lehhet amesema mojawapo ya malengo yake makubwa ni kuhakikisha timu hiyo ya jijini Mwanza inasalia Ligi Kuu Bara msimu ujao, huku akiomba ...
WAKATI Mbwana Samatta anasajiliwa Aston Villa ya England nchi ilisimama kwa shangwe kuona kijana wake akipata nafasi katika moja ya ligi kubwa duniani na maarufu.
KAMATI ya waamuzi nchini imefanya mabadiliko ya mwamuzi wa kati wa mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Tabora United na Simba.